October 27, 2011
Ukistaajabu ya Musa....
Hizi ni picha mbili halisi ambazo zimepitishwa photoshop kuhifadhi maadili, niliwai kupost hiyo ya chini hapa na kule facebook, nimekuwa nikipata maoni mbalimbali, lakini wengi wakitaka kujua kama hii ni picha halisi, hivyo nimeamua kuweka picha halisi ambayo sikutaka kuiweka kabla, huyu mdudu amewekwa hapo kuhifadhi maadili tu, lakini akiruka ni balaaa,
Maswali kadhaa wachangiaji wamekuwa wakioji,
- je ni nani dada huyu?
- Je kupanda jukwaani akiwa hivyo ni masharti ya mmiliki wa bendi au ni matakwa binafsi?
- Je ni nchi gani na hii ni bendi gani?
- Mamlaka husika zinasemaje juu ya hili? NK.
Kwa hakika mimi sina majibu, isipokuwa picha hii ilitoka kule Jamii Forum ambako nako kulikuwa na mjadala wake mkubwa, tena iliwekwa pasipo hako kanzi.
Wapo wasomaji waliojaribu kubashiri ama kusema kuwa hii ni Uganda lakini wakapishana kuwa ni bendi gani.
Mimi sijui, iwapo kuna mdau yeyote mwenye kuweza kutujuza zaidi juu ya binti huyu na maswali yoote hapo juu itakuwa vyema. Karibuni wadau.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
SAKATA LA RADAR BADO BICHI KABISA......... BAE in spotlight over Tanzania radar deal BAE Systems faces fresh controversy over foreign ar...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.
1 comment:
Huyo ni Tshala Mwana akiwa anatumbuiza Uganda.
Haya mambo ni kawaida kabisa kwa wanamuziki wanawake. Hebu fikiria idadi ya watazamaji kwa onesho lijalo itakuaje kama wanaume wakipigiana stori kuwa mama alikua mtupu
Post a Comment