October 27, 2011
Ukistaajabu ya Musa....
Hizi ni picha mbili halisi ambazo zimepitishwa photoshop kuhifadhi maadili, niliwai kupost hiyo ya chini hapa na kule facebook, nimekuwa nikipata maoni mbalimbali, lakini wengi wakitaka kujua kama hii ni picha halisi, hivyo nimeamua kuweka picha halisi ambayo sikutaka kuiweka kabla, huyu mdudu amewekwa hapo kuhifadhi maadili tu, lakini akiruka ni balaaa,
Maswali kadhaa wachangiaji wamekuwa wakioji,
- je ni nani dada huyu?
- Je kupanda jukwaani akiwa hivyo ni masharti ya mmiliki wa bendi au ni matakwa binafsi?
- Je ni nchi gani na hii ni bendi gani?
- Mamlaka husika zinasemaje juu ya hili? NK.
Kwa hakika mimi sina majibu, isipokuwa picha hii ilitoka kule Jamii Forum ambako nako kulikuwa na mjadala wake mkubwa, tena iliwekwa pasipo hako kanzi.
Wapo wasomaji waliojaribu kubashiri ama kusema kuwa hii ni Uganda lakini wakapishana kuwa ni bendi gani.
Mimi sijui, iwapo kuna mdau yeyote mwenye kuweza kutujuza zaidi juu ya binti huyu na maswali yoote hapo juu itakuwa vyema. Karibuni wadau.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
TRA YA NCHI JIRANI YAPONDA PONDA MAGARI YALOSHINDWA KUKOMBOLEWA BANDARINI, MAGARI YAPATAYO 200 KUPONDWA DESEMBA HII, JE HUKU NI KUWA NA AK...
-
Tarime — FELISTA Laurent (15) had not been admitted to hospital in her life, until November 4, this year, when she was attacked by his fath...
-
Habari wadau, Mnaweza shangaa leo kuja na uzi huu wa Saratani ya Utumbo mpana, kifupi mi si tatbibu na wala sina fani yoyote ya namna hi...
-
Jessica is recognized internationally as an inspirational keynote speaker. Born without arms, Jessica now flies airplanes, drives c...
-
Hii ni repoti ya shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo na Viwanda inayoonyesha jinsi wataalamu wetu wanavyokimbia nchi yao na kwenda kuta...
-
Shirika la habari la Uholanzi Radio Netherlands Worldwide limeipa shavu picha hii na kushika nafasi ya tano katika shindano lake la hivi kar...
-
Wananchi wa Kijiji cha Mkunya wilayani Newala wakiwa wamebeba bango kubwa linalomuamba Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyekuwa anapita kiji...
-
Kwa mujibu wa ripoti za Shirika la Afya Duniani vifo vitokanavyo na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, kitaalumu Noncommunicable Dise...


1 comment:
Huyo ni Tshala Mwana akiwa anatumbuiza Uganda.
Haya mambo ni kawaida kabisa kwa wanamuziki wanawake. Hebu fikiria idadi ya watazamaji kwa onesho lijalo itakuaje kama wanaume wakipigiana stori kuwa mama alikua mtupu
Post a Comment