October 25, 2011
CITI Bank boosts Mwananyamala Maternal Health care.
Meneja
Uhusiano wa Citibank, Frank Kallaghe (kulia) akikabidhi vifaa vya matibabu
ambavyo ni 'oxygen concentrator , two
examination tables, two examination sreens, two examination lights, two B.P
machines and 10 delivery kits' vyenye thamani ya milioni 9m/- kwa Mganga Mkuu
wa Hospitali ya Mwananyamala, Dk. Sophinias Ngonyani ikiwa ni mchango wa
wafanyakazi wa benki hiyo jijini Dar es Salaam kwaajili ya kusaidia wakati wa uzazi ili kupunguza vifo vya
kinamama na watoto wakati wa kujifungua. Kulia ni Katibu wa Klabu ya Citibank,
Emma Mwenda. Zaidi tembelea DAILY MITIKASI BLOG
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
No comments:
Post a Comment