October 25, 2011
CITI Bank boosts Mwananyamala Maternal Health care.
Meneja
Uhusiano wa Citibank, Frank Kallaghe (kulia) akikabidhi vifaa vya matibabu
ambavyo ni 'oxygen concentrator , two
examination tables, two examination sreens, two examination lights, two B.P
machines and 10 delivery kits' vyenye thamani ya milioni 9m/- kwa Mganga Mkuu
wa Hospitali ya Mwananyamala, Dk. Sophinias Ngonyani ikiwa ni mchango wa
wafanyakazi wa benki hiyo jijini Dar es Salaam kwaajili ya kusaidia wakati wa uzazi ili kupunguza vifo vya
kinamama na watoto wakati wa kujifungua. Kulia ni Katibu wa Klabu ya Citibank,
Emma Mwenda. Zaidi tembelea DAILY MITIKASI BLOG
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
No comments:
Post a Comment