March 27, 2009

Mwaka wa hasara.............

Gari alilokuwa akiendesha Mzee wa "Vijisenti"
Hii ndo Bajaj. Mzee wa "Vijisenti" Andrew Chenge (kulia) akiwasimulia Maofisa wa Polisi, Naibu DCI Peter Kivuyo (katikati) na Kamanda wa Trafiki Kanda maalum ya Dar es Salaam Mohamed Mpinga namna ambavyo ajali ilitokea baada ya gari alilokuwa akiliendesha kugongana na bajaji na kusababisha vifo vya wanawake wawili ambao wanadaiwa kuwa walikuwa wakitoka kujirusha klabu Maisha usiku wa kuamkia leo Oysterbay Dar es Salaam.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...