March 30, 2009

Saba wathibitika kufa ajali ya treni Dom.

MAITI za watu waliokufa katika ajali ya treni iliyotokea katika kitongoji cha Pandambili, katikakati ya stesheni ya Gulwe na Igandu hazijatambuliwa hadi kufikia hii leo.
Kulingana na Mkuu wa mkoa wa Dodoma , William Lukuvi jumla ya watu saba ndio waliofariki katika ajali hiyo na wengine saba kujeruhiwa.
Lukuvi alisema kuwa miili ya marehemu hao imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhi maiti katika hospitali kuu ya mkoa wa Dodoma ambapo maiti hizo zimeshindwa kutambuliwa kutokana na majina yaliyoandikwa katika tiketi zao kutokamilika..

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...