March 31, 2009

Bongo kupeleka kikosi Darfur mwezi ujao..

Msuluhishi wa Darfur Dkt Salim Ahmed Salim akiagana na mkuu wa kikosi cha JWTZ kitakachoelekea Darfur mwezi ujao Luteni Kanali Ally Katimbe leo katika kambi ya Jeshi hilo iliyoko Msata ,Pwani baada ya kutoa mhadhara kwa kikosi hicho kuhusu hali ya jimbo la Darfur.
MSULUHISHI wa Umoja wa Afrika (AU) katika mgogoro wa Darfur , Sudan, Dk. Salim Ahmed Salim leo amezuru kambi ya kikosi maalum cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania wapatao 875, kinachojiandaa kwenda kulinda amani katika jimbo la Darfur nchini Sudan,
Askari hao na maofisa waowanatarajiwa kuondoka nchini mwezi huu kuelekea Sudan kulinda amani chini ya Umoja wa Mataifa.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...