Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
DEFINITION Colon cancer is cancer of the large intestine (colon), the lower part of your digestive system. Rectal cancer is cancer...
-
WINNERS Boulevard.: Biashara ya Masoko ya Mtandao : Fikiria kama ungekuwa walipwa kwa kila ushauri wa kutumia huduma ama bidhaa ya kampuni a...
-
Baada ya DCI na jeshi la polisi kwa ujumla kukiri kuwa vifaa walivyowekewa wabunge wa upinzani yaani Wilbrod Slaa na Dr Ali Tarib Ali kwam...
-
Want to know the secret how to become successful in Edmark business? This is the opportunity, come and hear the testimony from Tanza...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Forever Multi Maca Maca, also known as Lepidium Meyenii, is an annual plant that is cultivated in the Peruvian central highla...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...

1 comment:
Nina uzoefu wa hali ilivyo katika ajira za kufundisha vyuo vikuu vya Marekani. Ikitokea nafasi, chuo kinawajibika kisheria kuitangaza nafasi hiyo kila mahali panapowezekana, kuanzia kwenye majarida na mitandao ya taaluma husika, na kwenye vyuo vingine. Ni lazima wasambaze taarifa sehemu hizo zote, ili kila mtu aweze kupata fursa sawa ya kuliona tangazo na kupeleka maombi.
Ni kawaida kwa nafasi hiyo moja kuletwa mamia ya maombi. Kazi sasa inakuwa kwa kamati husika kuanza kuchuja. Watachuja sana, hadi wafikie waombaji wachache, labda tuseme 20, ambao sasa kamati inawaita kwenye mahojiano.
Baada ya mahojiano hayo, wanaweza kupatikana waombaji watatu, ambao wanaitwa chuoni kufanyiwa mahojiano zaidi, na wao kuonyesha uwezo wao wa kufundisha, falsafa na fikra zao kuhusu somo husika, na kadhalika.
Baada ya hapo, anapatikana mwombaji moja, na ndiye anapelekewa taarifa ya kupewa kazi.
Nimeeleza hayo ili tu kupanuana mawazo.
Post a Comment