Kuna msemo usemao kuwa ukistaajabu ya musa utaona ya filauni, nimeamini, katika post moja hapo chini "sababu hii pekee au zaidi?" nilihoji sababu za kina dada kutopenda kuvaa kanguo kadogo na kupenda ama kufanya makusudi ili mtu mwingine ajue kuwa hanako kanguo kadogo,
Hapo juu hiyo picha ni halisi imefanyiwa ufundi ktk photoshop ionekane ya kuchora, mdada anaoneka ni mcheza shoo katika ukumbu fulani na bila shaka mbali na watazamaji lakini alijua kuwa kuna wapiga picha, hivyo pamoja na kuvaa nguo inayoonekana ni ndefu lakini alihakikisha havai kanguo kadogo na watu wengine wapate salam, kaanika utupu wake hadharani, hana chembe ya aibu wala woga.
Dada zetu mwatupeleka wapi, ni nini mwataka hasa?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
No comments:
Post a Comment