April 19, 2010

TAUSI BADO YUKO JUUUUU

Tausi Likokola lawezekana kuwa jina geni miongoni mwa watu lakini si geni kwa wengi wetu na hasa wanaofuatilia kwa karibu masuala ya mitindo na ulimwende hapa Bongo na Duniani kwa ujumla.
Tausi ni Mwanamitindo mzaliwa wa Tanzania ambaye amepiga hatua kubwa sana katika fani hii kimataifa kwa muda mrefu sana, pamoja na kuwa sasa ni mama wa watoto wawili lakini bado anapata mikataba na makampuni mbalimbali duniani kama vile Gucci, Christian Dior, Tommy Hilfger, Escada, NK.
waweza kumtembelea hapa au katika facebook ujionee zaidi.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...