April 22, 2009

MREMA ANACHEZA RAFU?

Mgombea uenyekigoda wa TLP Joram Kinanda akiwa na mwenyekiti wa Kamati ya Wanachama wa Kunusuru TLP Macmillan Lymo akiwaonesha orodha ya wajumbe feki 42 kati ya 80 wa NEC ambao walishiriki ktk kikao ambacho pia kilimtimua Mutungirei hivi karibuni. WAH. hawa wanadai kuwa Mrema huwa anachukua wasukuma mikokoteni pale Manzese wakti wowote na kuwaita ni wajumbe wa NEC au mkutano na pia ni kuwa hata katiba anatengeneza yeye mwenyewe.
Ktk uchaguzi huu unaokaribia inadaiwa kaarika wajumbe 163 tu kati ya 1200 wa mkutano mkuu na kuandaa morani wapatao 300 kudhibiti atakaye taka kujipeleka huko mkutanoni pasi kuitwa.
Habari ndo hiyo

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...