March 24, 2009

JK aenda visiwa vya Comoro

Rais Jakaya Kikwete akiagana na Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein, Waziri Mkuu Mizengo Pinda au"Mtoto wa Mkulima" na viongozi mbalimbalia katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere muda mfupi kabla ya kuondoka kwenda Comoro ambako atakuwa na ziara ya kikazi ya siku tatu.

1 comment:

Anonymous said...

Kuna haja ya rais kupokewa na uongozi wote wa nchi?
Ni kitu ambacho sielewi kabisa,je kuna haja kweli ya Rais kila anapokwenda ziarani nje ya nchi na kila anaporudi kupokelewa na uongozi wote wa nchi?kwa sababu gani hasa?maana unaona kuna Waziri Mkuu,Mkuu wa Mjeshi,Mkuu wa Polisi na viongozi wengine kedekede.kwani hawa hawana kazi nyingine ya kufanya?mi nadhani Rais angeweza kabisa kupokelewa na mtu kama Mkuu wa Mkoa,nayo inatosha sana...
sijui wadau mnaonaje?!
Mdau Paesulta
(Kwa majadiliano zaidi tembelea jamii forum,kuna mjadala mrefu zaidi)

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...