Hongera kwa shughuli ngumu unayoifanya ya kuelimisha, kuburudisha, kuhabarisha na kukutanisha jamii. Ningependa kukiri kazi yako ni muhimu kwa kuinufaisha Tanzania na dunia kwa ujumla. Ningependa kuokoa muda na kuchukua anafasi hii kuifahamisha jamii ya Tanzania kuwa sasa kupata kipato kwa njia pepe au tusema e-business/e-commerce si jambo gumu tena. Hisapepe.com imekuja kuibadili Tanzania, inalipa wanachama wake kwa kila wakifanyacho katika tovuti ama website hii. Nia kuu ni kuanza kujenga utamaduni biashara pepe (e-bussiness, ni vyema kuanzia hapa) Ni wakati sasa wa kufanya kazi mtandaoni! Ni wakati wa watanzania kushuhudia pesa ya shilingi kutoka mtandaoni na si zile njia tumekuwa tukizisikia ambazo haziwezekaniki…kitakwimu kumwambia mtu awe na zile kadi za malipo ya intaneti hapa kwetu bado ni tabu sana. JINSI YA KUSHIRIKI UWEZE KULIPWA bofya hapa kwa taarifa zaidi>>>>>
February 2, 2009
Hisapepe yazinduliwa
TOVUTI INAYOLIPA WANACHAMA WAKE YAZINDULIWA, JIONGEZEE KIPATO SASA!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
A very rare opportunity. With Outstanding Entrepreneur, Great Visionary, Motivational Speaker, Founder, Chairman and CEO of Edmark Inte...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
SAKATA LA RADAR BADO BICHI KABISA......... BAE in spotlight over Tanzania radar deal BAE Systems faces fresh controversy over foreign ar...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
No comments:
Post a Comment