February 8, 2009

Dar taka kila kona.

NADHANI HILI NDILO JIJI PEKEE DUNIANI AMBAPO WATU WAKO HURU KUTUPA/KUWEKA TAKA MAHALI POPOTE NA HASIKUBUGUDHI MTU YEYOTE, YAANI ATA UKIJISIKIA KUACHIA ZIGO POPOTE PALE AHAA!! RUKSA TU.

1 comment:

Anonymous said...

Sio ukweli bwana kwamba Dar ndio jiji pekee,Wewe unaandika umeenda majiji mangapi?Na hayo uliokwenda unatembelea sehemu zote au unapita mitaa fulani unayoona misafi tu?hali kama hiyo ipo majiji makubwa duniani uchafu sehemu usizotegemea.Amsterdam kuna mitaa michafu,Berlin pia na uchafu unatupwa kama kawa,Hata Barcelona nje ya uwanja wa barca(Camp Nou)upande wa nyuma kuna rundo la uchafu.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...