NADHANI HILI NDILO JIJI PEKEE DUNIANI AMBAPO WATU WAKO HURU KUTUPA/KUWEKA TAKA MAHALI POPOTE NA HASIKUBUGUDHI MTU YEYOTE, YAANI ATA UKIJISIKIA KUACHIA ZIGO POPOTE PALE AHAA!! RUKSA TU.
February 8, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
DC AAMURU WALIMU WACHARAZWE VIBOKO MKUU wa Wilaya ya Bukoba, Albert Mnali, ameacha maswali miongoni mwa walimu baada ya kufanya ...
-
Invitation Photography Areas/Maeneo Thursday 17 th June/7 pm/Goethe-Institut Goethe-Institut presents Areas/Maeneo a platform for friend...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...
1 comment:
Sio ukweli bwana kwamba Dar ndio jiji pekee,Wewe unaandika umeenda majiji mangapi?Na hayo uliokwenda unatembelea sehemu zote au unapita mitaa fulani unayoona misafi tu?hali kama hiyo ipo majiji makubwa duniani uchafu sehemu usizotegemea.Amsterdam kuna mitaa michafu,Berlin pia na uchafu unatupwa kama kawa,Hata Barcelona nje ya uwanja wa barca(Camp Nou)upande wa nyuma kuna rundo la uchafu.
Post a Comment