KATIKA hali ya isiyo ya kawaida, Waziri Mkuu Mizengo Pinda jana aliwaambia wananchi kuwa wanaoua watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) pamoja vikongwe ni hawana budi kuuawa kwa kuwa wakisubiri mahakama kuwahukumu, watakuwa wanakosea.
Waziri Pinda, ambaye ameanza ziara katika mikoa ya Kanda ya Ziwa yenye lengo la kuhamasisha vita dhidi ya mauaji ya vikongwe na albino, aliutaka Umoja wa Vijana wa CCM kuongoza vita hiyo, akisema lina jeshi zuri.
Mauaji ya albino yamekuwa ni tatizo kubwa nchini na hasa katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.
January 25, 2009
WAGANGA WA KIENYEJI WOTE WAFUTIWA LESENI...
Pinda ataka jino kwa jino
Ni jinsi gani mauaji haya ya ndugu zetu hawa yanapokukele hata kufikia kiongozi kutoa amri ambayo yaweza onekana kama kuruhusu kuchukua sheria mkononi, lakini ukweli ni kuwa inakela na inasikitisha sana kuona kadri inavyopigiwa kelele na viongozi wetu ndo kama wanachochea moto vile wauaji hawa kuendelea, inatia maudhi mno.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH

The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
WINNERS Boulevard.: Biashara ya Masoko ya Mtandao : Fikiria kama ungekuwa walipwa kwa kila ushauri wa kutumia huduma ama bidhaa ya kampuni a...
-
Wastaafu Rais Mkapa na Lowassa wwalipokutana ktk msiba wa Mzee Bhoke Munanka.
-
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA Agosti16, 2008 PRESS RELEASE Mkuu wa Chuo cha Kijeshi (TMA), Monduli Arusha, Brigedia Jenerali...
-
Mechi kati ya Watani wa jadi ndo imemalizika huko mji kasoro bahari kwa Yanga kuendeleza uteja kwa kulala gori moja bila. Juzi tu vijana ha...
-
President Dr Jakaya Mrisho kikwete with NASDAQ's Vice Chairman David Wicks (right) and at the MarketSite at New York 4 Times Square ...
-
Pinda ataka jino kwa jino Ni jinsi gani mauaji haya ya ndugu zetu hawa yanapokukele hata kufikia kiongozi kutoa amri ambayo yaweza onekana...
-
But while the suspect was being attended to in one of the wards at Leratong Hospital in Krugersdorp, west of Johannesburg, the on-...
-
Nilisikia redioni, nikasoma mtandaoni na kwenye baadhi ya media, nikajionea na picha za watu wanaoamini kuwa kesho kutwa yaani tarehe 21 n...
-
A PHOTO EXHIBITION BY PARTICIPANTS OF THE EFFECTIVE RURAL PHOTOJOURNALISM COACHINGPROJECT 2010/11 Flame Tree Media Trust has, for past...
No comments:
Post a Comment