January 26, 2009

Mpiganaji Athumani aendelea vyema.

Mpiganaji Athumani Khamis akijuliwa khari na Maofisa toka TSN, Mkumbwa Ali Naibu Mhariri Mkuu na Emmanuel Makene Katibu wa shirika katika Hospital ya Millpark huko Afrika Kusini katika jiji la Jo'burg hivi karibuni.

Khali ya Athumani inaendelea vizuri na inatia matumaini, kwani hivi sasa angalau ameanza kupata hisia miguuni na kuweza kuinua mikono ni jambo la kumshukuru Mungu sana na hakika kwa mapenzi yake Mwenyezi Mungu muumba wa vitu vyote nina imani kubwa kuwa siku moja Mpiganaji huyu atakuja tembea tena kwa miguu yake kwani hakuna neno gumu lakumshinda MUNGU.

Blogu hii inakuombea sana Mpiganaji upone haraka na upate kurudia maisha yako kama zamani na hali hii iwe kwako sehemu ya historia tu.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...