July 1, 2008

Bank Holiday??????????????????

Wadau naomba ufafanuzi au mnitoe ushamba kidogo, hii bank holiday ni nini hasa na inaunuhimu gani kwa taifa letu na ukuaji wa uchumi?
Leo hii mabenki yote yamefungwa sababu ya kitu inaitwa BANK HOLIDAY na ambayo sikumbuki kuisikia hapa bongo (kama kumbukumbu zangu zi sahihi) na leo BOT imewaamrisha wateja wake woteeee kufunga shughuri zao
Swali: watanzania wengi bado twatumia sana cashi kufanya manunuzi yetu ya kila siku tofauti na mataifa yaliyoendelea, Je hii haimaanishi kuwa wafanyabiashara kadhaa leo hawatalala kwa amani kwa kuofia kuja kuporwa mauzo yao ya siku?
Na je hiki si kichocheo cha ujambazi?
Naomba kuelimishwa wadau.Posted by Picasa

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...