May 13, 2008

CRDB yachangia Sullivan Summit

CRDB Leo imetea mshiko wa dola laki moja kwa ajili ya maandalizi ya mkutano wa Nane wa Leon Sullivan au 8th Leon H Sullivan Summit utakaofanyika mkoani Arusha mwezi ujao,
Pia bank hii itatoa huduma za kibenki ktk faranga zote pia kwa wataanzisha huduma mpya kabisa ya MOBILE Banking ambapo kutakuwa na magari maalumu ya kutuoa huduma hiyo ambayo ni ya kwanza kabisa nchini.

Waziri Membe amewataka wafanyabiashara nchini kujiandaa vilivyo ikiwa ni pamoja na kutengeneza vipeperusha, makabrasha, brochure na bizinez card za kueleweka ili kuweza kushawishi wafanyabiashara wakubwa toka US wapatao 3,000 kuweza kufanya biashara nao.

NI NAFASI YA PEKEE KWA WAFANYABIASHARA WA BONGO KUWIN BINGO HILI, VINGINEVYO ZIRANI ZETU WATATUPOLA NAFASI HII.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...