April 6, 2008
NATAFUTA MCHUMBA
JAMANI MJAMAA ATAFUTA JIKO HUYU NA SIFA KAORODHESHA HAPO CHINI, JE NI KWELI SASA TUMEFIKA HATA KUJITANGAZA KTK VYOMBO VYA HABARI?
AU NI UBIZE ATA KUSEMESHA TOTOZ INAKUWA TABU?
Mimi kwa jina naitwa bw. Jarome Msaka, nimezaliwa mwanzoni mwa 1976, ningependa kujitokeza kwenye blog yako unisaidie natafuta mchumba. Sifa zangu ni kama ifuatavyo;Elimu: Masters ya Management IT Security
Kazi: Nzuri ya kipato cha kutosha, nina nyumba na usafiri wangu binafsi.
Makazi: Dar es salaamHeight and body built: 5.8", normal body.
Sifa zingine: Sivuti sigara, nakunywa pombe kiasi, ni mkristo (Lutheran), sijawahi kuoa na sina mtoto,sina ulemavu wowote, mcheshi kiasi, mwenye kupenda maendeleoMchumba ninayemtaka awe naumbile la wastani, mwenye elimu kuanzia degree moja, mpenda maendeleo, asiwe complicated na awe muwazi, awe tayari kupima ukimwi, awe Mtanzania au at least TOKA EA community, mkristo, ambaye hajawahi kuzaaa wala kutoa mimba.Natumaini utanisaidia kwa hili hasa ukizingitia nature ya kazi yangu inanibana kiasi nashindwa kupata nafasi ya mchumba ninayemtaka.Ambaye yupo tayari (mabinti tu) atume maombi kwa E-mail jarome_msaka@hotmail.com akiambatanisha picha yake ya passport pamoja na na ya full.*MDAU MWENYE SHAUKU YA KUPATA MWENZI WA MAISHA,JAROME PAUL MSAKA. kwa hisani ya Haki Ngowi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
3 comments:
Kaka watafuta Mchumba au Mke maana midume mingine yajifanyaga kutafuta mchumba maisha yao yote si kama hwapati bali wapata wachapa watosa ndo mtindo wao, na kwa weye nikuonanyo mmhh.
usijali utapata kaka hongera kwa ujasiri wako wa kujitokeza hadharani.
Mrs Bennett
Damn you Liar! you are just a fucker...! why don you go fuck cheaply at Ohio?
It cant be for you to go all that long way to Masters degree and yet you did not find anyone on the way! otherwise you are problematic!!
Mdau.
Post a Comment