JAMANI MJAMAA ATAFUTA JIKO HUYU NA SIFA KAORODHESHA HAPO CHINI, JE NI KWELI SASA TUMEFIKA HATA KUJITANGAZA KTK VYOMBO VYA HABARI?
AU NI UBIZE ATA KUSEMESHA TOTOZ INAKUWA TABU?
Mimi kwa jina naitwa bw. Jarome Msaka, nimezaliwa mwanzoni mwa 1976, ningependa kujitokeza kwenye blog yako unisaidie natafuta mchumba. Sifa zangu ni kama ifuatavyo;Elimu: Masters ya Management IT Security
Kazi: Nzuri ya kipato cha kutosha, nina nyumba na usafiri wangu binafsi.
Makazi: Dar es salaamHeight and body built: 5.8", normal body.
Sifa zingine: Sivuti sigara, nakunywa pombe kiasi, ni mkristo (Lutheran), sijawahi kuoa na sina mtoto,sina ulemavu wowote, mcheshi kiasi, mwenye kupenda maendeleoMchumba ninayemtaka awe naumbile la wastani, mwenye elimu kuanzia degree moja, mpenda maendeleo, asiwe complicated na awe muwazi, awe tayari kupima ukimwi, awe Mtanzania au at least TOKA EA community, mkristo, ambaye hajawahi kuzaaa wala kutoa mimba.Natumaini utanisaidia kwa hili hasa ukizingitia nature ya kazi yangu inanibana kiasi nashindwa kupata nafasi ya mchumba ninayemtaka.Ambaye yupo tayari (mabinti tu) atume maombi kwa E-mail jarome_msaka@hotmail.com akiambatanisha picha yake ya passport pamoja na na ya full.*MDAU MWENYE SHAUKU YA KUPATA MWENZI WA MAISHA,JAROME PAUL MSAKA. kwa hisani ya Haki Ngowi.
April 6, 2008
NATAFUTA MCHUMBA
JAMANI MJAMAA ATAFUTA JIKO HUYU NA SIFA KAORODHESHA HAPO CHINI, JE NI KWELI SASA TUMEFIKA HATA KUJITANGAZA KTK VYOMBO VYA HABARI?
AU NI UBIZE ATA KUSEMESHA TOTOZ INAKUWA TABU?
Mimi kwa jina naitwa bw. Jarome Msaka, nimezaliwa mwanzoni mwa 1976, ningependa kujitokeza kwenye blog yako unisaidie natafuta mchumba. Sifa zangu ni kama ifuatavyo;Elimu: Masters ya Management IT Security
Kazi: Nzuri ya kipato cha kutosha, nina nyumba na usafiri wangu binafsi.
Makazi: Dar es salaamHeight and body built: 5.8", normal body.
Sifa zingine: Sivuti sigara, nakunywa pombe kiasi, ni mkristo (Lutheran), sijawahi kuoa na sina mtoto,sina ulemavu wowote, mcheshi kiasi, mwenye kupenda maendeleoMchumba ninayemtaka awe naumbile la wastani, mwenye elimu kuanzia degree moja, mpenda maendeleo, asiwe complicated na awe muwazi, awe tayari kupima ukimwi, awe Mtanzania au at least TOKA EA community, mkristo, ambaye hajawahi kuzaaa wala kutoa mimba.Natumaini utanisaidia kwa hili hasa ukizingitia nature ya kazi yangu inanibana kiasi nashindwa kupata nafasi ya mchumba ninayemtaka.Ambaye yupo tayari (mabinti tu) atume maombi kwa E-mail jarome_msaka@hotmail.com akiambatanisha picha yake ya passport pamoja na na ya full.*MDAU MWENYE SHAUKU YA KUPATA MWENZI WA MAISHA,JAROME PAUL MSAKA. kwa hisani ya Haki Ngowi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
DEFINITION Colon cancer is cancer of the large intestine (colon), the lower part of your digestive system. Rectal cancer is cancer...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
WINNERS Boulevard.: Biashara ya Masoko ya Mtandao : Fikiria kama ungekuwa walipwa kwa kila ushauri wa kutumia huduma ama bidhaa ya kampuni a...
-
Forever Multi Maca Maca, also known as Lepidium Meyenii, is an annual plant that is cultivated in the Peruvian central highla...
-
Want to know the secret how to become successful in Edmark business? This is the opportunity, come and hear the testimony from Tanza...
-
From Tanzania all the way to South Africa, Norway, Netherlands, Oman, USA and the world people are following Bongo Pix, this is the joy of b...
-
The Edmark Double Bonus Marketing Plan consists of both the Point Sharing System and the Block System. Thus, giving maximum benefits ...
-
One of the most fascinating parts of my research is discovering who is becoming a millionaire today—becoming a millionaire seems to have ...
3 comments:
Kaka watafuta Mchumba au Mke maana midume mingine yajifanyaga kutafuta mchumba maisha yao yote si kama hwapati bali wapata wachapa watosa ndo mtindo wao, na kwa weye nikuonanyo mmhh.
usijali utapata kaka hongera kwa ujasiri wako wa kujitokeza hadharani.
Mrs Bennett
Damn you Liar! you are just a fucker...! why don you go fuck cheaply at Ohio?
It cant be for you to go all that long way to Masters degree and yet you did not find anyone on the way! otherwise you are problematic!!
Mdau.
Post a Comment