April 6, 2008

TABATA DAMPO

Waathirika waubomoaji wa kikatili wa Tabata Dampo jijini bado waishi kkt vibanda kutokana na kutokuwa na pa kwenda. Bi Mafunda Khamis na Mumewe na watoto watano wameishi nyumba za kupanga maisha yao yote jijini,ni mwaka jana walipojikomboa na kupanga baada ya kujenga nyumba yao eneo hili. Hawana zaidi ya mwaka ndani ya nyumba yao wanakumbana na bomoabomoa ya kikatili kama hii. Mvua zinazoendelea zimewalazimisha kuwaombea hifadhi kwa ndugu watoto na wao kubaki hapo.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...