October 16, 2007
Tatizo la unyanyapaa au stigma katika jamii yetu linarudisha nyuma mapambano dhidi ya UKIMWI na juhudi nzima ya serikali kupunguza maambikizi, lakini pia linasababisha watu kuogopa kujitokeza kupima virusi hasa vijana na zaidi wanaume,
Wanaume tuaamini kuwa tuko salama sana fikiria mume wa mama huyu ana wake sita na bado anaamini kuwa yu salama sana na kuwa mama huyu ndo mgonjwa pekee,
Kesi za aina ya Bi Namnahuka ni nyingi sana Newala na hapana shaka sehemu nyingine za nchi yetu.
Vita ya Ukimwi haina budi kwenda sambamba na vita dhidi ya unyanyapaa bila hivyo hatupiga hatua zozote makini katika vita kubwa hii.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
SAKATA LA RADAR BADO BICHI KABISA......... BAE in spotlight over Tanzania radar deal BAE Systems faces fresh controversy over foreign ar...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
No comments:
Post a Comment