Hapana shaka yoyote kuwa ndivyo zilikuwa ndoto za aloandika score board hii japokuwa ukweli haukuwa ivyo kwani timu hizi zilitoka sare ya bila magori.
Na pengine ndivyo hata hawa viongozi wa simba Dalali na Mwenzie Simba wa Yuda au Kaduguda wangependa iwe lakini waaaapi la kuvunda halina ..................
Wadau wa soka ni nini kinaendelea ktk timu hizi kongwe msimu huu maana siku hizi wakitia timu ni kufungwa kosakosa droo.. WHYYYYYYYYYY KWANINIIIIIIIIIIII?
Na Jumatano ndo kipute cha watani wajadi hawa ambao kwa kweli msimu huu wameboronga kuliko mfano yaaani sipati picha itakuwaje siku hiyo..yetu macho tusubiri tuone
No comments:
Post a Comment