November 20, 2011

UPDATES: AJALI YA TAQWA - 16 WAFARIKI PAPO HAPO

Watu 16 wamefariki papo hapo na wengine 17 kujeruhiwa baada ya basi la Taqwa No T635 AVC lililokuwa likitokea Dar kuelekea Bujumbura kugongana uso kwa uso na lori la Azam No RAB 255 W eneo la Lusaunga, Wilaya ya Biharamulo Mkoani Kagera, 


Madereva ni miongoni mwa waliokufa, akiongoea na Bongo Pix kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Biharamulo Dr Michael Abila amethibitisha kupokea maiti 15 na majeruhi 12 huku majeruhi watano na maiti moja wakipokelewa katika Hospitali ya Ngara. 


Mongoni mwa waliofariki ni wanawake saba na wanaume 9 huku mtoto mdogo ambaye amepoteza mama yake katika ajali akijeruhiwa vibaya, pia miongoni mwa waliofariki walikuwepo watu watatu wa familia moja waliokuwa wakielekea harusini ambao miili yao ilichukuliwa jana. 


Majina ya marehemu na majeruhi yatapatikana muda si mrefu. 

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...