January 5, 2010

MWAKA MPYA MKE MPYA, HUREEE

Pichani ni Rais wa Afrika Kusini,Jacob Zuma,akicheza ngoma ya asili ya ki-Zulu na mkewe mpya,Thobeka Madiba,katika harusi yao iliyofungwa huko kijijini kwao katika jimbo la KwaZulu.

Kuna mtu kauliza,mbona kuna watanzania wanamshambulia Rais Zuma kwa kuwa na wake watatu?Mbona Rais wetu mstaafu alikuwa na wake wawili?

Picha ya AFP

1 comment:

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Mwacheni Zuma "afaudu maisha". Anadumisha mila na utamaduni wa Mwafrika huyu. Kuna nini cha kushangaza hapa? Waisilamu tukioa wake wengi mbona hamtushangai?

Kule Usukumani (na naamini pia katika makabila mengi) bado ni rukhsa kuoa wake wengi na kijijini kwetu kuna jamaa wenye wake wawili, watatu, wanne, watano na hata sita.

Hata hao wasio na wake wengi - wana nyumba ndogo Ilala, Temeke na Kinondoni? Si ni kitu kile kile tu au?

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...