Daktari wa Utafiti wa magonjwa ya Binaadamu katika Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa magonjwa ya Binaadamu NIMR Dk. Ester Ngadaya (kushoto) akimueleza Makamu wa Rais Dk.Ali Mohamed Shein juu ya kazi mbalimbali za utafiti wanazozifanya katika Taasisi hiyo, wakati Makamu wa Rais alipotembelea kwenye Ofisi za Tasisi hizo zilizopo Mtaa wa Luthuli Dar es salaam leo. Wa pili kushoto Naibu Waziri wa Afya Dk. Aisha O. Kigoda, kushoto Kaimu Meneja Mkuu wa Taasisi hiyo Dk. Mwele Malechela.
October 22, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
HII NI HOSTEL YA CHUO KIKUU CHA AFYA NA SAYANSI SHIRIKISHI WANAPOISHI WATAALAMU WETU WA AFYA WA KESHO.
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
No comments:
Post a Comment