December 12, 2009
Hoseah na Feleshi, nani atwambii ukweli?
Katuka mila nyingi za kiafrica ama kibantu ni utovu wa nidhamu kumwita mkubwa wako MWONGO ni kitendo cha dharau, nami nisingependa kabisa kuwa mtovu wa nidhamu, sipendi niwakosee heshima wakubwa zangu, lakini pamoja na ukweli huo bado nahisi kwa haya yaliyojili hivi karibuni kati taasisi nyeti nchini yaani PCCB na DPP na majibizano yaliyolipotiwa, nahisi kuna mtu atwambii ukweli hapa, sijui yupi na sababu ip lakini hii ndo hisia.
MKURUGENZI wa Mashitaka nchini (DPP), Eliezer Feleshi, amekanusha tuhuma kuwa ofisi yake imekalia mafaili 60 ya kesi zinazohusu rushwa na kueleza kwamba kamwe hafanyi kazi kwa shinikizo. Feleshi alikuwa akijibu taarifa zilizoandikwa jana na vyombo vya habari zikimkariri Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Dk. Edward Hoseah, akiituhumu Ofisi ya DPP kwa kukalia mafaili hayo ya kesi za rushwa.
“Ni kweli napokea mafaili mengi kutoka vyanzo mbalimbali ikiwemo Takukuru na Polisi, siwezi kueleza ni mangapi kutoka Takukuru yapo katika ofisi yangu, lakini jambo moja muhimu la kuzingatia ni kwamba sifanyi kazi kwa shinikizo, tunaongozwa na sheria na ndizo zinazozingatiwa,” alisema DPP.
SOURCE. HABARI LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
There has been resurgence in the number of registered divorces in the country in the past two years after declining between 2005 and 2006. ...
-
But while the suspect was being attended to in one of the wards at Leratong Hospital in Krugersdorp, west of Johannesburg, the on-...
-
Tarime — FELISTA Laurent (15) had not been admitted to hospital in her life, until November 4, this year, when she was attacked by his fath...
-
Tuna kila sababu kumshukuru Mungu kwa kutufikisha hapa tulipo, miaka mitano si mingi sana lakini kwa taasisi takatifu ni miaka mingi sana,...
-
THE National Power Utility company (Tanesco), will have to pay Dowans Holdings SA (Costa Rica) the sum total of 94bn/- following recent ruli...
-
Shirika la habari la Uholanzi Radio Netherlands Worldwide limeipa shavu picha hii na kushika nafasi ya tano katika shindano lake la hivi kar...
-
Forever Multi Maca Maca, also known as Lepidium Meyenii, is an annual plant that is cultivated in the Peruvian central highla...
No comments:
Post a Comment