September 19, 2009

NEC vs ZEC picha lingine???

Kauli ya Makame yaichanganya ZEC
MKURUGENZI wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Salum Kassim amesema haamini kama mwenyekiti wa taifa, Jaji Lewis Makame anaweza kujitoa katika suala la Zanzibar na kutaka jamii iilaumu Zec kwa vurugu zinazoendelea kisiwani Pemba.
Juzi Jaji Makame alisema mjini Dodoma kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) haistahili kuhusishwa na vurugu zinazoendelea kisiwani Pemba, ambako wananchi wanagomea zoezi la uboreshaji wa daftari la wapiga kura wakipinga matumizi ya kitambulisho cha Uzanzibari Ukaazi kama kigezo kikuu.
"Kama Nec ingekuwa msimamizi wa uandikishaji kwa ajili ya chaguzi hizo (za Zanzibar), ingestahili kubeba lawama, lakini Zanzibar kuna tume huru... Zec ambayo inasimamia taratibu zote katika daftari hilo, ndiyo inapaswa kulaumiwa,"alisema Jaji Makame juzi.
source: mwananchi

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...