August 17, 2009

Zombe na wenzie ni KICHEKOOO

Habari zilizotufikia punde ni kuwa Mahakama Kuu ya Tanzania imewaachia huru ACP Abdalah Zombe na watuhumiwa wingine wote na kuwaona hawana hatia ya mauaji ya Wafanyabiashara watatu na dereva teksi waliyokuwa wakishtakiwa nayo na kudaiwa kuyatendenda mnamo Januari 14 2006.

1 comment:

Anonymous said...

Iwapo kuna udhaifu mkubwa wa Waendesha Mashitaka katika Mahakama za Tanzania.

Je, hukumu za watu wasiokuwa na uwezo wa kupata jopo zima la Mawakili, wanahukumiwa kihalali kweli?

Kuna akina Babu Seya na wanawe. Kuna dereva wa basi aliyehukumiwa miaka 30 kwa sababu tairi la basi lake lilichomoka kwa bahati mbaya na kupata ajali.

Mchezo wa Mahakama za Tanzania wa kupindisha sheria waziwazi tulianza kuuona wazi katika kesi ya Marehemu "Ditopile".

Mchezo kama huo umechezwa tena kwa akina Zombe na kundi lake.

Je, tutegemee nini kwa akina Mramba na wenzake??????

This Is Black=Blackmannen

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...