August 26, 2009

Mazishi ya pamoja ya Wanafunzi 12 wa Sule ya Idodi katika picha

Waziri wa Elimu Prof Jumanne Maghembe akiweka shada maua. Mmoja wa wafiwa akisaidiwa mara baada ya kushuhudia mazishi ya mwanae Mbunge wa Isimani ambako ndiko iliko shule ya Idodi na Mkuu wa Mkoa wa Dar William Lukuvi akiweka shada. Familia ikiomba mbele ya kabuli la pamoja. Picha kwa hisani ya mdau Francis Godwin

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Wapumzike kwa amani milele amina. inasikitisha sana ni pigo kubwa sana pole wafiwa wote.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...