August 26, 2009

Mafua ya ndege yapigwa jeki.

Katibu Mkuu wa Jumaiya ya Afrika mashariki Balozi Juma Mwapachu (kushoto) akipokea funguo na nyaraka za magari saba kutoka kwa Meneja kampuni ya CMC tawi la Arusha Suresh Nathwani (kulia) jana katika hafla iliyofanyika katika viwanja vya AICC.Magari hayo yametolewa kama msaada na Umoja wa Ulaya (EU) kwa ajili ya mradi wa kuthibiti ugonjwa wa homa ya mafua ya ndege katika nchi wananchama wa jumuiya hiyo

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...