July 31, 2009

Muswada wa Mfuko wa Majimbo CDCF Wapita kwa KISHINDO

Hatimaye ule muswada tata wa Mfuko wa Maendelea ya Jimbo, CDCF, umepita kwa kishindo kikubwa cha kihistoria ambapo ndoa rasmi ya wabunge wa CCM na Wapinzani imezaliwa kwa wote kuunga mkono hoja kwa asilimia 100 bila pingamizi lolote wala any reservation huku vijimambo vikijiri kwenye upitishaji wa mswada huo.
HABARI NDO HIYO.

1 comment:

Nautiakasi said...

Hakuna mpinzani wana mshindani, wote wanatetea matumbo yao! Wanasiasa wa Tanzania ni wanafiki wakubwa na wezi watupu! Nimeacha kupiga kura tangu 2000 na sitopiga kura tena hadi naingia kaburini, rabda mke wangu agombee uongozi ndo ntampigia yeye!

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...