July 31, 2009

TMK KUMEKUCHA

Askari wakishika zamu baada ya wazee wa kazi kuingia na kuchukua chao mapema leo hii Baadhi ya wafanyakazi viatu havivaliki na hawaamini macho yao ka wamepona Jamaa walikuwa na "VIAZI" gururneti kibao walipiga kama vitatu ambavyo vilisababisha maafa na vingine yaonesha vilikataa kazi ka ichi. Ni kusalimisha roho tu. Hapa kaunta yasemekana ndipo kilipigwa kimoja hali halisi yaonesha. Mhhh.

Majambazi yapatayo saba hivi yakiwa na mabomu ya kutupa kwa mkono na kutumia magari yaliyokuwa na pleti namba za SU na STH leo hii asubui walivamia na kupora kiasi cha Sh million 150 ktk Benki ya NMB tawi la Temeke baada ya kumuua vibaya (kwa bomu) mmoja ya walinzi wa benki hiyo toka Kampuni ya Moku Seif Mkikwe (50)

Habari ndo hiyo.

1 comment:

Rashid Mkwinda said...

Duuu poleni sana huko Dar kila siku matukio ya kutisha cjui kamanda Kova umecheki hali hiyo unalo jipya la kusema juu ya ulinzi shirikishi?

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...