June 8, 2009

Uvamizi huu wamaanisha nini?

Vurugu zimeibuka katika Kijiji cha Sing'isi wilayani Arumeru Mkoa wa Arusha baada ya wananchi kuvamia shamba la Madira Estate na kuharibu mazao na mali mbalimbali zenye thamani ya mamilioni ya fedha, huku wakipambana na polisi kwa zaidi ya saa saba.
Vurugu hizo zilianza juzi saa tatu usiku ambapo wananchi zaidi ya 1,000 wakazi wa kijiji hicho wakiwa na silaha mbalimbali za jadi kama mapanga, mawe na fimbo walivamia shamba hilo ambalo pia linadaiwa limeuzwa kwa Mbunge wa Vunjo, Aloyce Kimaro....read more
Je Tanzania sasa yataka kufanana na Zimbabwe au niaje????

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...