June 8, 2009

Kesi za mauaji ya maalbino zaanza kuungruma

Wakili wa utetezi katika kesi ya mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) na vikongwe Bw. Feran Kweka akiongea na watuhumiwa kabla ya kuanza kwa kesi inayowakabili chini ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma Gadi Mjemas. Kikao hicho kimeaza leo (Juni 8, 2009) mjini Shinyanga.
Kesi za mauaji ya Ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi ama Albino zimeanza leo ktk mahakama kuu za kanda ya ziwa chini ya ulinzi mkali wa jeshi la polisi, Kesi hizo zinatarajiwa kusikilizwa mfululizo kwa siku 35.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...