June 26, 2009

"Overtime" ya VX la serikali au SHANGINGI

Yaelekea ni katika ile mbuzi ula kwa urefu wa kamba yake au pengine ni katika kujiongezea kipato cha ziada pale dereva wa Shangingi hili mali ya serikali chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara kule EPZA Bw Geofrey Ernest Barweta alipoamua kupiga ka-overtime kidogo kwa kutumia mshangingi huo pamoja na wenzie watatu kwenda kupora fweza katika kituo kimoja cha mafuta na kwa bahati mbaya kwao siku hiyo (sidhani kama hii ni mara ya kwanza) gemu likabumbuluka na kutiwa mbaloni

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...