June 15, 2009

Liyumba, MAMBO MAZITO ZAIDI

Mahakama kuu ya TZ leo imefutilia mbali masharti ya dhamana ya Amatus Liyumba wa BOT iliyokuwa imetolewa na mahakama ya hakimu mkazi wa Kisutu na kuweka masharti mapya pia kuamuru kesi hiyo ipangiwe hakimu mwingine.
Sasa Liyumba pamoja na masharti mengine atatakiwa kuweka dhamana ya nusu ya hasara ya kiwango cha pesa anazotuhumiwa kuisababishia serikali ambayo ni Bilioni 221, HIVYO DHAMANA YAKE NI ZAIDI YA BILIONI 110,

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...