March 5, 2009

Wema adhaminiwa na Mamaye

Hi Honey pole jamani!! I Miss You kweli!!! "Mumewe" akimpa pole.
Wema akibebwa msomsobe na Mama yake baada ya kutaka kuondoka na "mumewe" Jumbe ambaye familia yake haimtambui.
"Nakwambie twende nyumbani haraka kama sivyo ninakufutia dhamana yako sasa hivi ili urudishwe rumande haraka huyo Jumbe si hatumtambui na kama anakupenda mbona hajakudhamini?” Mama Wema.
“ Mimi labda nife ndio mwanangu ataolewa na kijana huyo sitaki hata kumuona kwa kuwa kwanza ndio chanzo cha mwanangu kuharibika, lakini hata hivyo mimi naona kama alikuwa na nia na mwanangu mbona hata dhamana hakuja kumtolea dhamana” aliendelea kufoka Mama kwa hasira.
MISS Tanzania mwaka 2006 Wema Sepetu jana aliachiwa kwa dhamana katika kesi inayomkabili ya kuvunja kioo cha gari cha Msanii Stephen Kanumba chenye thamani ya Shilingi milioni moja.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...