March 8, 2009
KUMBE KILA JAMBO LINA SABABU ZAKE??
United Nation staff hold their hands during a peaceful protest at their headquarters in Gigiri on 3rd March 2009. The employees were protesting the replacement of Anna Tibaijuka as the Director General of the United Nations office in Nairobi. Her demotion has strained relations between Kenya and Tanzania.
Kuondolewa au kushushwa madaraka kwa Mama yetu Prof Tibaijuka kumbe ni mizengweya kamchezo kachafu ka majirani na watani zetu NYANG'AUS???
Yote hayo yako hapa
WADAU MWASEMAJE??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
Dr H Mwakyembe akishushwa toka ktk ndege ya kukodi na kupelekwa moja kwa moja MOI kwa Matibabu zaidi, Dr Mwakyembe alipata ajali ya gari m...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...
2 comments:
Secretary General wa UN ana utashi wa kubadlisha viongozi kadri anavyoona inafaa. Hakuna haja ya kulalamika....maji yakishamwagika hayazoleki. Cha maana ni kuangalia mbele.
Cha ajabu nini? Lazima kuna upungufu wa kiutendaji upande mwake huyu mama. Kwa mfano aliajiri zaidi watu wa kabila lake yaani Wahaya ambao hata qualifications walikuwa hawana. hili ni tatizo sugu UN kwani hata Kofi Anan aliwaleta waghana wengi ndani ya system. Je, UN ingevumilia haya hadi lini??
Post a Comment