March 8, 2009
KUMBE KILA JAMBO LINA SABABU ZAKE??
United Nation staff hold their hands during a peaceful protest at their headquarters in Gigiri on 3rd March 2009. The employees were protesting the replacement of Anna Tibaijuka as the Director General of the United Nations office in Nairobi. Her demotion has strained relations between Kenya and Tanzania.
Kuondolewa au kushushwa madaraka kwa Mama yetu Prof Tibaijuka kumbe ni mizengweya kamchezo kachafu ka majirani na watani zetu NYANG'AUS???
Yote hayo yako hapa
WADAU MWASEMAJE??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
HIGH COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Telephone:012- 342 4371/93 Fax: 012 – 430 43 83 E-mail: t anzania@cis.co.za ...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
2 comments:
Secretary General wa UN ana utashi wa kubadlisha viongozi kadri anavyoona inafaa. Hakuna haja ya kulalamika....maji yakishamwagika hayazoleki. Cha maana ni kuangalia mbele.
Cha ajabu nini? Lazima kuna upungufu wa kiutendaji upande mwake huyu mama. Kwa mfano aliajiri zaidi watu wa kabila lake yaani Wahaya ambao hata qualifications walikuwa hawana. hili ni tatizo sugu UN kwani hata Kofi Anan aliwaleta waghana wengi ndani ya system. Je, UN ingevumilia haya hadi lini??
Post a Comment