January 31, 2009

IMEKAAJE HII WADAU?

Duka la vito pale J'burg linauza tanzanite ambayo yapatika Tanzania pekee, sijui kama twaitangaza vyema hichi kito cha thamani ulimwenguni kama chapatikana Bongo tu, nasema sijui kwa kuwa tunako hako kaugonjwa kaudhaifu na kutaka kila kitu wawekezaji wafanye kana kwamba liinchi hili la neema tele halina watu wake wakufiki na kufanza kwa manufaa yetu.

Hata hivyo huyu bwana katusaidia kidogo anasema "TANZANITE ONLY IN AFRICA" sasa hapa sijui kama katusaidia ama kajihelp mwenyewe maana nasikia zamani ilikuwape "S" kabla ya africa, lakini je hii yatosha?

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...