Duka la vito pale J'burg linauza tanzanite ambayo yapatika Tanzania pekee, sijui kama twaitangaza vyema hichi kito cha thamani ulimwenguni kama chapatikana Bongo tu, nasema sijui kwa kuwa tunako hako kaugonjwa kaudhaifu na kutaka kila kitu wawekezaji wafanye kana kwamba liinchi hili la neema tele halina watu wake wakufiki na kufanza kwa manufaa yetu.
Hata hivyo huyu bwana katusaidia kidogo anasema "TANZANITE ONLY IN AFRICA" sasa hapa sijui kama katusaidia ama kajihelp mwenyewe maana nasikia zamani ilikuwape "S" kabla ya africa, lakini je hii yatosha?
January 31, 2009
IMEKAAJE HII WADAU?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
At least 32 people have been killed in multiple explosions after an accident at a munitions dump in Tanzania's commercial capital, Dar e...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
KASHFA YA RICHMOND YAPELEKEA Lowassa kujiuzuru, hii ina maana gani wapendwa? je na baraza zima limepigwa chini au niaje? Pichani juu ak...
-
Hivi Daktari Bingwa ndo wale wanaoitwa SPESHALISTI? je waweza bashiri hii ni wapi ambapo walipa buku tu kumwona mtaalamu?
-
Bila shaka wapo ambao kwa kuona picha tu udenda wawadondoka hapo walipo, msihofu tembeleeni sabasaba kule karibu na banda la Heineken kwa w...
No comments:
Post a Comment