Duka la vito pale J'burg linauza tanzanite ambayo yapatika Tanzania pekee, sijui kama twaitangaza vyema hichi kito cha thamani ulimwenguni kama chapatikana Bongo tu, nasema sijui kwa kuwa tunako hako kaugonjwa kaudhaifu na kutaka kila kitu wawekezaji wafanye kana kwamba liinchi hili la neema tele halina watu wake wakufiki na kufanza kwa manufaa yetu.
Hata hivyo huyu bwana katusaidia kidogo anasema "TANZANITE ONLY IN AFRICA" sasa hapa sijui kama katusaidia ama kajihelp mwenyewe maana nasikia zamani ilikuwape "S" kabla ya africa, lakini je hii yatosha?
January 31, 2009
IMEKAAJE HII WADAU?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH

The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Umati wa watu unaozidi kufurika huko Loliondo kwa dhumuni moja tu, kupata dawa ambayo inaaminika inatibu magonjwa sugu ama yaliyoshin...
-
WINNERS Boulevard.: Biashara ya Masoko ya Mtandao : Fikiria kama ungekuwa walipwa kwa kila ushauri wa kutumia huduma ama bidhaa ya kampuni a...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
The Edmark Double Bonus Marketing Plan consists of both the Point Sharing System and the Block System. Thus, giving maximum benefits ...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
Siri za kuwa mfanyabiashara aliyefanikiwa. Na NABII BG MALISA. Mafanikio yoyote yana siri kubwa. Hakuna mtu aliyefanikiwa kama ha...
-
Katika ajali hii kulikuwa na Shemeji yangu mke wa mdogo wangu Crispin Kagimbo, Ms Amina Ali pamoja na watoto wawili, Collin (1) na Micha...
-
Photo n' art image of Bunge main gate for sale, please contact us if you wanna have a copy of this or any other image here, +25578...
No comments:
Post a Comment