January 19, 2008

CHETIIIIIZ Hivi wabongo wenzangu wangapi tuna vyeti vya kuzaliwa? si tulio home hata nyie mlo ng'ambo wangapi mnavyo? LEO hii huku Bagamoyo RITA wamezindua campaign ya kusajjili watoto wote wanaozaliwa ili kila mtu awe nacho kwani haki ya kila mtoto kuwa na cheti. Wapowasemao kupata cheti cha kifo ni rahisi zaidi kuliko cha kuzaliwa mhh?

1 comment:

Evarist Chahali said...

Mr Bernard,asante kwa comment uliyoacha kwenye blog yangu.Asante pia kwa kuniweka kwenye orodha ya links zako,nami pia nimefanya hivyo.Huwa napita hapa mara kwa mara,lakini sasa nikipita ntakuwa naweka comments.Nakutakia shughuli njema.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...