Timu yetu ya taifa ya soka ya wanawake Twiga Stars imeanza kambi kwaajili ya maandalizi ya mechi yao dhidi ya Cameroon mwezi February.
Twiga stars wanaitaji mchango wenu wadau wa sports wa kila hali hili kuwawezesha kushinda mechi hii na pengine kuchukua uchamps,
shime wapenzi wote wa sports tuipe kila aina ya support timu yetu hii ili nani ajueaye yaweza kututoa kimasomaso,
kwa kutambua hilo blog hii itakuwa inaweletea maendeleo ya timu yetu hii kila siku na pia picha zake hazita wekwa lebo ili wana blogger wapenda soka watakuwa huru kuzitumia ktk blog zao hasa rafiki yangu haki ngowi ili wanaotembelea blog zenu wapaje ujumbe na wanaotaka kuchangia basi wawasiliane nami ili niwaeleze namna ya kuchangia kwa ajili ya timu yetu.
TIMU iko chini ya mtaalamu Charles Mkwasa akisaidiwa na Siwa kwa upande wa makipa.
No comments:
Post a Comment