December 12, 2008

OFISI YA WAZIRI YATEKETEA KWA MOTO

JANA USIKU JIJINI ILIKUWA NI USIKU WA MIOTO BAADAY MIOTO KUTOKEA SEHEMU MBALIMBALI IKIWAPO KIWANDA CHA BAKHRESSA ZAMANI NMC NA WIZARA YA UTALII NA MALIASILI NK.

PENGINE MOTO UTAVUTA HISIA ZA WENGI NI WA WIZARA HII AMBAO UMETEKETEZA OFISI YA WAZIRI NA HAPANSHAKA NYARAKA MUHIMU PIA ZITAKUWA ZIMETEKETEA.

VYANZO VYA MIOTO HIYO NA HASARA GANI IMEPATIKANA BADO HAVIJAJULIKANA.

1 comment:

Simon Kitururu said...

Kazi Ipo!Mazimamoto yakishindwa kuzima moto katika ofisi ya waziri, kwetu ma hohehahe ndio basi tena:-(

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...