February 17, 2008
Bush amwaga mapesa Bongo
Bush aliongozana na mkewe pamoja na Condoleza Rice, yako mambo mengi sana ya kujifunza kutokana na ujio huu kwa kitengo cha mawasiliano cha ikulu, wanausalama pamoja na waandishi na hasa watumia kamera.
jinsi ya kufanya kazi au kutuwezesha wapigapicha kupata picha nzuri pasipo na bughuza yoyote nadhani hili ni somo kubwa sana kwa ndugu zetu wa usalama ambao wanadhani kuwa kazi ya ni kuzibiti wapigapicha tu, na si kuweka mazingira mazuri ya upatikanaji wa picha bora na si bora picha.
Kuna watu wanaitwa Visual Advisors hawa ni watu muhimu sana kuwa nao kama ikulu hakuna mtu kama huyu basi ni vyema kufanyike utaratibu wa kupata mtu huyu.
yeye ni kiungo muhimu sana si tu ktk kuhakikisha kuwa panakuwa na mazigira au mandhali nzuri na mwaga tosha eneo la tukio bali pia ni kiungo kati ya kameraman na usalama ktk kuhakikisha kila mtu anafanya kazi yake vizuri.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
HIGH COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Telephone:012- 342 4371/93 Fax: 012 – 430 43 83 E-mail: t anzania@cis.co.za ...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
1 comment:
mkuu kazi nzurii, nimekua nikisoman kilio chakoo juu ya jamaa zetu kutoa tambua kazi zao za msingi za kuwaandalia maeneo mwanana ili muweze kupioga piocha za uhakika kama hizii.., hebu fikisha kilio hicho kwa wakubwaaa waelezeee huo utaratibu wa leo chini ya wamarekani ndo utaratibu mzuri na wa hali ya juu duniani kote..
Pole kwa kazii..
Haki
Post a Comment