Hatimaye Rais George Bush wa Marekani atua Bongo kuanza ziara ya siku nne ndani ya Bongo, ni ziara ya kwanza kwa rais wa Marekani kufanya na anakuja kusaini kiasi cha dola 700 milion kwa kuimarisha miundo mbinu na afya ya bongo, hii ndio twaita mgeni njoo mwenyeji apone.
No comments:
Post a Comment