February 8, 2013

R.I.P Bishop Thomas Laiser, R.I.P Amadeus Msarikie

Bishop Thomas Laiser
Askofu Thomas Laizer wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri nchini dayosisi ya kaskazini kati, amefariki dunia katika hospitali ya rufaa ya Seliani iliyopo jijini Arusha ambako alikuwa amelazwa kwa siku kadhaa akipata matibabu. Taarifa zaidi juu ya kifo chake tutakupatia pindi zitakapo tufikia katika dawati letu la GK.

Wakati huohuo aliyekuwa askofu wa jimbo la moshi kanisa katoliki Amedeus Msarikie amefariki dunia jana alfajiri mkoani Kilimanjaro. Askofu Msarikie alistaafu baada ya kutumika kwa muda mrefu na kuleta maendeleo mbalimbali katika jimbo la Moshi ikiwemo ujenzi wa shule pamoja na masuala ya kiroho. 

Habari kwa mujibu wa Gospel Kitaa

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...