November 2, 2011

Taswira za Rock City Leo hii kupitia Ka-smart Phone kangu!!


"Tutakapozidiwa msuli wetu utakuwa mkubwa zaidi" 
RPC Liberatus Barlow, anasema hayuko tayari kuvumilia uvunjifu wowote wa amani jijini humo kwa kisingizio chochote kile 


Jiji zima lilikuwa kimyaa kwa kipindi fulani. 

Nini kinaendelea huko, kila mtu yuko roho juu.
Hali ilikuwa tete jijini Mwanza leo hii baada ya kundi kubwa la Waislam kujazana mahakamani na kufanya fujo wakati kesi ya kuchoma Koran ilipokuwa ikisikilizwa.

Ililazimika Polisi kuingilia kati na kuwatawanya kwa kutumia mabomu ya machozi wote, mji mzima ilikuwa ni patashika nguo kuchanika

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...