September 27, 2011

Mgombea Ubunge UPDP azindua kampeni Igunga

Msafara wa mgombea ubunge Igunga UPDP Hemed. 


Vimbwanga vya mgomea Ubunge wa UPDP kama ilivyolipitiwa na TBC na kupewa muda wa kutosha tu,

Kwanza kabisa Tangazo “Vinywaji vyooote vinapatikana palee na chips na kila kitu, hapa ni "breki ya nyau”

“ Samaki hana rivasi”

Kauli za Mgombea,
...Vijana mna very problem, mnaota jua mchana kutwa kama solar power! >>>why hakuna ajira, >>> nichagueni mimi, nitafungua lanchi ya mifugo mtalipwa dola, >>> hakuna mwanafunzi kwenda shule na jembe, >>> nitauza VX langu na kununua power tillers, >>; hii ni elimu kwanza na sio kilimo kwanza, >>> nitanunua matrekta na nyie vijana ndio mtakuwa madereva, naombeni kura zenu”


Bahati mbaya sikulipata jina sawasawa, lakini ilikuwa full bururani kama komedi vile kumwanaglia mgombea huyu, cjui kwanini TBC walimpa muda mwingi kiasi kile, 


Picha na Lukansola JF

1 comment:

hii ni kali said...

dah hii ni kali inaelekea huyu mgombea alikua amekunywa gongo

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...