September 27, 2011

CHADEMA OMBENI RADHI WAISLAM, VINGINEVYO...!

File picture


KATIBU wa sekretarieti ya Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania (Hay- Atul Ulamaa) Sheikh Sherally Huseein (kulia)akitoa tamko kwa waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam kuhusu wafuasi wa Chama cha CHADEMA kukaidi kuomba radhi kwa umma wa Kiislamu kufuatia tukio la udhalilishaji kwa kumvua Hijjab Mkuu wa Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Mama Fatma Kimario hapo septemba 15 mwaka huu. Katikati ni Naibu Mwenyekiti wa Umoja huo, Sheikh Abdallah Bawazir na kushoto ni Sheikh Manzi Said Manzi wa taasisi ya Mwinyi Mkuu.Picha na Mwanakombo Juma-
MAELEZO







The Union of Islamic Scholars in the country (Hay-ATUL) has pressured CHADEMA to apologize following the assault of Igunga District Commissioner, Ms Fatma Kimario.

 "We request CHADEMA to issue an apology statement to all Muslims in the entire country on what had happened," said Sheikh Hussein.

 He said if Chadema won't issue a statement, the union would mobilize Muslims in the country and all peace well-wishers not to support the party by any means.

 Sheikh Hussein noted that the union's mission was to protect the rights of Muslims and warned any malicious acts that threatened the security of the country.

 Another Party's Legal Advisor, Mr Mabere Marando, accused the leaders of the Muslim organizations who have involved in giving ultimatum to CHADEMA as being touts of CCM. 

source: Daily News

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...