May 2, 2011

huyu ataka gari la Milion200 na huyu auwawa kwa deni la sh 500/- ni Bongo hapahapa



Nawaza kwa sauti!

Wakati Mtukufu, Mh sana Meya wetu anadai (wanadai) kununuliwa mashangingi ya bei mbaya Millioni 200/- kwa kodi zetu pia wapo watanzania wengi wanapoteza maisha kwa vitu ambavyo uwezi amini (kama deni la 500/-) kuwa ni nchi moja haya yanatokea, 


Waheshimiwa, Watukufu watawala wetu wanatamani ufahali katikati ya lindi la ufukara linalotuzungukuka? Je wanadai ufahali huu toka katika mapato gani? je ni kweli tuna ziada ya fedha kiasi hiki katika Halmashauri zetu ata tufikie kuwapa pepo watawala wetu? Je huduma za jamii zikoje? shule zetu ziko katika hali gani? Hospitali na miundombinu vikoje? 

Jamani mwenzenu nawaza kwa sauti tu!

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...