July 9, 2010

Zenji Judgement day, ni Shein, Nahodha au Bilali?

Muda si mrefu kitendawili hiki kitateguliwa baada CC kupitisha majina matatu Makamu wa Rais Dr Mohamed Shein, Waziri Kiongozi Shamsa Nahodha na Waziri Kiongozi Mstaafu Mohamed Bilali ambayo yanajadiliwa na NEC na twaambiwa kuwa zege halilali kwani leo hii hata kama ni usiku wa manane mmoja wa hao atatika mshindi.
Je zitakuwa ni kura za KIITIFAKI? mi sijui lakini kama ndivyo basi ni rahisi kukisia nani ataibuka mshindi, tusubiri muda utatatua yoote haya.

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...